Jumamosi, 28 Septemba 2013

Sifa na utukufu kwa Bwa na Yesu Mtumishi ANN ANNIE mkimsifu Bwana wakati wa mkutano Haleluya
Mwimbaji ANN ANNIE akimtukuza Mungu katika mkutano wa injili Mgwashi Bumbuli


Vijana wakiwa katika semina ya Neno la Mungu





 Haya sasa Bwana Yesu asifiwe tunamsifu Mungu

Watumishi wa Mungu wakimshangilia Bwana oooooh Haleluja
Miujiza na uponyaji  waYesu kristo ikitendeka
Makutano wakimtukuza Mungu Haleluya
Mwimbaji Ann Annie akimtukuza Mungu wakati wa mkutano
Makutano wakiombewa katika mkutano uliyofanyika Mgwashi Bumbuli jina la Bwana libarikiwe
Mtumishi wa Mungu Yohana Kangajaka akihubi katika mkutano
Makutano wakiombewa katika moja ya mkutano ulifanyika Mgwashi Bumbuli
Makutano wakifuatilia ujumbe wa Neno la Mungu
Mtumishi wa Mungu Noel Meena akimtukuza Mungu
n
Haleluya tunamshukuru   Mungu kwakutupa kibali kwa huduma nyigine tena leo Mgwashi Bumbuli

Jumatatu, 23 Septemba 2013

Mtumishi Yohana kangajaka - Msaranga Moshi

Wapendwa katika bwana wakishangilia ushindi wa Yesu kristo katika mkutano uliofanyika Mjini Moshi







Vijana kwa wazee wakiimba na kufurahi kwa Muujiza wa mungu








Ev. John Kangajaka akiimba pamoja na wanakwaya wa Msaranga - Moshi


Mch Tumaini kalaghe pamoja na John kangajaka - Msaranga Moshi


Mkutano wa injili Msaranga - Moshi











Mchungaji Tumaini Kalaghe akimuombea Binti katika mkutano huo

Mchungaji Tumaini Kalaghe na Mchungaji Yohana Kangajaka wakimuombea Mmoja wa umini katika Mkutano huo



Mkutano wa injili Iringa 16 Sept. 2013

Mkutano wa Injili Uliofanyika Makambako Iringa Tarehe 16 September 2013



Mtumishi wa Mungu akipambana katika maombi katika mkutano mkubwa uliofanyika Mkoani Iringa Sept. 23 mwaka huu

Mtumishi wa Mungu aliejaaliwa vipaji vingi vikiwemo vya Uimbaji, Uongozi, Ualimu hapa akicharanga kinanda akiimba wimbo wake katika Mkutano uliofanyika Iringa mwezi wa September mwaka huu 

Mmoja wa watumishi wa mungu akifatilia mahubiri yaliyofanyika mkoani Iringa

Mtumishi wa Mungu Yohana Kangajaka akiimba nyimbi huku akipiga kinanda

Mmoja wa wanakwaya akiwa ana msifu mungu katika mkutano huo 

Mtumishi wa Mungu Yohana kangajaka akiamuru pepo linalomsumbua Binti huyu (pichani) hatimae binti aliachiwa huru na kuponywa kwa nguvu za yesu kristo.


Wachungaji wakiwa Jukwaani katika mkutano wa injili mkoani Iringa