Ijumaa, 20 Desemba 2013

MIUGIZA KWA JINA LA YESU KWANI MAPEPO YANATII NA WATU WANAFUNGULIWA

 NI WAKATI WA HUDUMA YA MAOMBEZI NGUVU ZA ROHO MTAKATIFU ZIKIFANYA KAZI KWA JINA LA YESU KUPITIA MTUMISHI WAKE HAPA KKKT USHARIKA WA HANDENI KATIKA MKUTANO WA NENO LA MUNGU

 JINA LA BWANA LIBARIKIWE KWANI MAPEPO YANATII AMRI KWA JINA LA YESU

WAHUDUMU WAKIMFANYIA HUDUMA MTU ALIYEKUWA AKISUMBULIWA NA MAPEPO ALIYEANGUKA WAKATI WA MAOMBEZI ILIYO KATIKA HUDUMA YA KINABII NA MTUMISHI YOHANA KANGAJAKA

MHUBIRI :GRACE MPANDUJI 

KICHWA:TUNASHUGHULIKIA WACHAWI WAPONE

MATENDO YA MITUME 8:9--13

(Na mtu mmoja,jina lake simoni,hapo kwanza alikuwa akifanya uchawikatika mji ule,akiwashangaza watu wa Taifa la wasamaria,akisea yeye ni mtu mkubwa.10 Wote wakamsikiliza tangu mdogo hata mkubwa,wakisema,mtu huyu ni uweza wa Mungu,ule Mkuu.11 Wakamsikiliza,kwa maana amewashangaza muda mwingi kwa uchawi wake.12 Lakini walipomwamini Filipo,akizihubiri habari njema za ufalme wa Mungu,na jina lake Yesu Kristo,wakabatizwa,wanaume na wanawake.Na yeye Simoni mwenyewe aliamini akabatizwa,akashikamana na Filipo;akashangaa alipoziona ishara na miujiza mikubwa inayotendeka)