Jumatatu, 23 Septemba 2013

Mtumishi Yohana kangajaka - Msaranga Moshi

Wapendwa katika bwana wakishangilia ushindi wa Yesu kristo katika mkutano uliofanyika Mjini Moshi







Vijana kwa wazee wakiimba na kufurahi kwa Muujiza wa mungu








Ev. John Kangajaka akiimba pamoja na wanakwaya wa Msaranga - Moshi


Mch Tumaini kalaghe pamoja na John kangajaka - Msaranga Moshi


Mkutano wa injili Msaranga - Moshi











Mchungaji Tumaini Kalaghe akimuombea Binti katika mkutano huo

Mchungaji Tumaini Kalaghe na Mchungaji Yohana Kangajaka wakimuombea Mmoja wa umini katika Mkutano huo



Mkutano wa injili Iringa 16 Sept. 2013

Mkutano wa Injili Uliofanyika Makambako Iringa Tarehe 16 September 2013



Mtumishi wa Mungu akipambana katika maombi katika mkutano mkubwa uliofanyika Mkoani Iringa Sept. 23 mwaka huu

Mtumishi wa Mungu aliejaaliwa vipaji vingi vikiwemo vya Uimbaji, Uongozi, Ualimu hapa akicharanga kinanda akiimba wimbo wake katika Mkutano uliofanyika Iringa mwezi wa September mwaka huu 

Mmoja wa watumishi wa mungu akifatilia mahubiri yaliyofanyika mkoani Iringa

Mtumishi wa Mungu Yohana Kangajaka akiimba nyimbi huku akipiga kinanda

Mmoja wa wanakwaya akiwa ana msifu mungu katika mkutano huo 

Mtumishi wa Mungu Yohana kangajaka akiamuru pepo linalomsumbua Binti huyu (pichani) hatimae binti aliachiwa huru na kuponywa kwa nguvu za yesu kristo.


Wachungaji wakiwa Jukwaani katika mkutano wa injili mkoani Iringa





Shangwe, furaha na burudani zikiambatana na maombi




Burudani na maombi vilitawala mbele za mungu

Shangwe, Burudani, Maombi na kumsifu mungu kulitawala