Alhamisi, 24 Septemba 2015

Extraordinary Invitation (Mwaliko usio wa kawaida) By Yohana Kangajaka



 Extraordinary Invitation

(Mwaliko usio wa kawaida)



 John 7:37 john 4:10,14 ikor 10:4 and exodus 16:4, 14-15, 17:6

Chota katika kisima cha uzima, maneno haya yanamaanisha viko visima vingi, lakini fahamu vingine vina maji machungu yanayoleta uchungu na uharibifu. Kuna kisima kimoja cha pekee chenye maji ya uzima, maji yaburudishayo jangwani na mwamba huu ulioko jangwani jina lake ni Kristo Yesu wakati umekata tamaa hilo ni jangwa lako wakati umevunjika moyo,unachohitaji ni macho yaonayo ili uone hiki kisima cha chemichemi ya amani,furaha,kitakupa  changamko na afya kamwe ukipata maji haya hutazimia jangwani utapata nguvu mpya “you will not faint”

Ukiwa na roho ya kujiona hapo ni vigumu kupata haya maji na ni vigumu kupata muugiza wako lakini chemichemi ya maji katika mwamba ndio pekee yenye maji safi na hilo tatizo ulilonalo lipo katika mtazamo,nia safi ni muhimu iwapo unataka kupokea muugiza wako na umtukuze Mungu. Kabla ya kuchota maji jihoji kwanza ili usije chota katika chombo kichafu mithali 4:23 (watch over you heart with all diligence for from it flow the spring of life) Je unalinda nini? Dini yako? Mumeo,mkeo,mwanao utajiri wake,heshima yako,hebu litende haki neno la Mungu ili uone maajabu ya mwamba wa jangwani.

Kiriba chako cha maji kiunganishe na jabali ili uone wokovu katika afya yako,biasahra yako,elimu yako, maneno usemayo yatawaburudisha wengine na kuwaletea afya,moyo wenye uzaima wa Mungu mwenyezi Mith 14:30

Hutawajeruhi wengine kama panga na mishale ya sumu maana umeinua karama ya Mungu  umeyaomba maji toka mwaruba wa milele maana moyo una uhusiano wa karibu na mdomo, moyo ukiugua unahataridha maisha yako unaweza hata kufa kabla ya wakati wako chota leo mith 12:18 kabla hujaongea fikiri kwanza ,

Moyo unauwezo wa kuamua litakalotokea katika mwili,moyo wenye amani huleta uzima kwa mwili,linda sana moyo wako.Acha kuozesha mifupa kwa husuda na mashindano. Mith 18:14 stahihi tunza stawisha,lisha beba, inua,linda,saidia,tetea mwili wako na kuupatia mahitaji muhimu kwa ajili ya kuishi roho yako yakibinadamu itaweza kubeba na kulinda,kutunza mwili wako uwe na afya bila kujali hali mbaya unazokutana nazo roho yako inaweza na ukaendelea kuishi maana umeunganisha kiriba chako na mwamba wa chemichemi ya uzima hivyo nia ya kuishi inakutegemeza mara utakapokuwa mgonjwa maana roho yako ina uzima ndio itasambaza uzima katika mwili wako pia

Lakini ukipoteza tumaini lako hata ukioombewa unajisumbua tu. Nia ya kuishi lazima itoweke kamwe usiondoke katika imani yako wala katika ahadi za maisha marefu nia ya kuishi ndio inayoweza kumtegemeza mwamini hata atakapotishwa na magonjwa yasiyotibika kama nia ipo na njia ya kuishi ipo itasimamisha usalama.Ponya roho kwanzana roho itaponya mwili Mith 17:22 nilile neno la Mungu lililopo mdomoni mwetu ndilo huponya roho Rum 7:22, 2kor 4:16

Acha utu wa ndani ufanywe upya utu wa nje utaongozwa toka ndani  Yer 29:13 mtafute huyu mwamba jijaribu mwenyewe 2kor 13:5 na ujiweke wakfu mwenyewe Yn 17:19 na 1yn 1:8-9    this is the message we have from Him and proclaim to you, that God is light and in Him there is no darkness at you  1 Yn 1:7

                                                                                                                        posted by @bless msele

 

Jumatatu, 21 Septemba 2015

Mamia ya Watu wakimkabidhi Yesu Maisha Yao

 Mkabidhi Yesu maisha yako na awe Bwana na Mwokozi wa Maisha yako






The overcoming life 1John 4:4 By Pastor Yohana Kangajaka



The overcoming life 1John 4:4

Your are of God

Asili yetu wakristo sio hapa duniani Yohana anashuhudia akionyesha asili yetu asili yake ipo kwa Mungu kwa maneno mengine wakristo wamezaliwa na Mungu hivyo wana maisha ya asili ya Mungu, ni muhimu kujua hili

Haisemi Biblia kuwa tutashinda inasema tumeshinda {you shall overcome them but it says you have overcome throne this is not a promise it is a statement of fact your not trying to overcome you have overcome already.} na haisemi umewashinda kwa sababu mna nguvu mno sana au sababu ni wakristo wa kiroho sana bali inasema umewashinda kwa kuwa aliye ndani yangu ni mkuu kuliko aliye duniani

Kwa lugha nyingine huwezi kushinda chochote iwapo Yesu hayumo ndani yako, sio mtazamo kidhehebu kwa Yule aliye hai ndani yako unapata uhamisho katika ulimwengu wa roho Kolosai 1:13  who has deliverd us from the power of the darkness and translate us into the kingdom of  His dearson.Mtu wa asili yupo katika utawala wa adui kwa hiyo anahitaji ukombozi, Mtu mpya ametolewa katika milki ya shetani na kuingizwa katika ufalme wa mwana wa pendo lake Mungu

Mtu mpya hahitaji ukombozi bali mtu mpya ametolewa katika milki ya adui ameingizwa katika milki ya Mungu mwenyewe, elewa maisha ya ushindi ni pale mtu anapozaliwa mara ya pili. Maisha ya adamu wa kale ambayo yalishikwa na dhambi na kifo yamebadilishwa na amekuwa kiumbe kipya 2kor 5:17  sasa hiki kiumbe kipya kina asili mpya ya Mungu na hakuna awezaye kuyaharibu tena sio kifo wala magonjwa 1Yn 4:4 Maisha yake yanatenda Kiungu.

Mk 16:17—18 elewa sio ahadi bali ni udhihirisho wa ukweli {statement if fact} uwapo imeokoka Yesu yupo ndani yako wewe sio mtumwa wa magonjwa tena [your no longer subject to disease]

MKUTANO WA INJILI WELEI

 MAKUSANYIKO YA MAMIA WATU WAKIMKABIDHI YESU MAISHA YAO MUNGU ANAONEKANA KWA JINA LAKE

 MTUMISHI WA MUNGU YOHANA KANGAJAKA AKIFANYA HUDUMA YA MAOMBEZI KWA WENYE SHIDA MBALIMBALI KATIKA MKUTANO HUKU MAMIA YA WATU WAKIMKABIDHI YESU MAISHA YAO

 KIDOLE CHA MUNGU KIKIKUGUSA HAKUNA NGUVU YOYOTE INAYOWEZA KUSIMAMA


Ijumaa, 18 Septemba 2015

MKUTANO WA INJILI WELEI SOKONI kOROGWE, Tanga

MKUTANO MKUBWA WA INJILI WELEI KOROGWE MKOA WA TANGA NJIA YA KUELEKEA LUTINDI TUNAWAKARIBISHA WATU WOTE WA KABILA ZOTE NA DINI ZOTE NJOO USHUHUDIE MAAJABU YA MUNGU NA UWEZA WAKE

WTUMISHI WA MUNGU YOHANA KANGAJAKA PAMOJA NA EV. HIZA NGULIZI WATAHUDUMU PAMOJA KWAYA MBALIMBALI NA WAIMBAJI MBALIMBALI KUTOKA DAR ES SALAAM, DODOMA PAMOJA NA TIMU YA PRAISE AND WORSHIP KUTOKA KOROGWE TANGA

Ijumaa, 7 Agosti 2015

waimbaji wa kimsifu Mungu katika semina ya injiri iloyo fanyika katika kanisa la KKKT Mabibo falasi

Jumamosi, 7 Machi 2015

RECEIVE IT IN THE NAME OF JESUS ......type AMEN To Receive

All problem and every arrow of enemy,every demons and demonic spirit by the power of lord Jesus Christ may it be out and i set you free in The name of Jesus Christ.

PROPHETIC WORD (NENO LA KINABII)

MTUMISHI WA MUNGU YOHANA KANGAJAKA AKIMFANYIA HUDUMA YA MAOMBI DADA HUYU AMBAYE ALITOLEWA MBELE KWA NENO LA UFUNUO WA ROHO MTAKATIFU ALILOPEWA MTUMISHI JUU YA SHIDA ILIYOKUWA INAMSUMBUA BINTI HUYU JINA LA BWANA LIBARIKIWE BINTI HUYU AMEKUWA HURU

Alhamisi, 26 Februari 2015

SEMINA TAREHE 01/03/2015 MPAKA TAREHE 08/03/2015 VIWANJA ANGLIKANA TTC KOROGWE

SEMINA YA NENO LA MUNGU

Karibuni wote kwenye semina ya neno la Mungu itakyofanyika katika viwanja vya kanisa la Anglikana Korogwe pale TTC Mtumishi Yohana Kangajaka pamoja na timu nzima ya Spiritual voice Ministry watahudumu katika semina hiyo

posted by Baraka Msele

 

 

SEMINA TAREHE 01/03/2015 MPAKA TAREHE 08/03/2015 VIWANJA ANGLIKANA TTC KOROGWE

SEMINA YA NENO LA MUNGU

Karibuni wote kwenye semina ya neno la Mungu itakyofanyika katika viwanja vya kanisa la Anglikana Korogwe pale TTC Mtumishi Yohana Kangajaka pamoja na timu nzima ya Spiritual voice Ministry watahudumu katika semina hiyo

Posted by Bless Msele