Alhamisi, 21 Novemba 2013

Mtumishi wa Mungu Violet Mtani akiendelea na Mafundisho Juu ya Ukombozi

 Ni katika Semina ya Neno la Mungu inayoendelea mpaka siku ya Jumapili











Fire out in Jesus Name

 EV YOHANA KANGAJAKA KATIKA MOJA KATI YA HUDUMA KKKT USHARIKA WA KANA






Wakati wa Ukombozi kwa Wenye Vifungo vya Kipepo

 Watumishi wakitoa pete ya Maagano ya Kipepo kwa Moja kati ya Mabinti waliokuwa wakiweka mikataba ya Pete shetani.Jina la Bwana libarikiwe kwa Ukombozi


 Moto wa roho mtakatifu ukitembea katika Semina ya Neno la Mungu inayoendelea KKKT Usharika wa Kana mkabala kabisa na Soko la Tengamano




 Mtumishi wa Mungu Ernest Kangajaka akifanya maombi ya Ukombozi katika Semina hiyo inayoongozwa na Ev Yohana Kangajaka


 Mapepo yanatii kwa Jina la Yesu Kristo na Yesu anazidi kufungua watu kupitia Mtumishi wake Yohana Kangajaka