Alhamisi, 19 Septemba 2013

My People Distroyed for the luck of knowledge . Hosea 4:16

my people are distroyed for luck of knowledge.hosea4:6
watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa.
Maarifa ni ELimu tupatayo . vyanzo vyake ni pale ulipozaliwa watu wakuzungukao,shule tusomazo.vyote ni vyanzo vya maarifa..mimi leo nazungumzia maarifa yakiMUNGU;DIVINE KNOWLEDGE.nabii Isaya11:2Na ROHO WA BWANA.atakaa juu yake .Roho ya hekima na ufahamu Roho wa shauri na uweza. Roho ya maarifa na ya kumcha Bwana,
ni moja ya roho saba za MUNGU Maarifa ni roho kama vile Imani;2kor4:13Lakini kwakua tuna roho ileile ya Imani,kama ilivyoandikwa naliamini na kwasababu hiyo nalinena. sisi nasi twaamini na kwasababu hiyo twanena'hapa huonyesha wazi kwamba Imani ni roho.roho huwa haifi mwili ndio hufa ndio maana mtu wa Imani hazuiliwi na kitu nabii Yeremia2:21-24Nami nalikuwa nimelipanda, mzabibu mwema sana, mbegu nzuri kabisa umegeukaje basi kuwa mche usiofaa wamzabibu mwitu machoni pangu? maana ujapo jioosha kwa magadi ,nakujipatia sabuni ni nyingi lakini uovu wao  umeandikwa mbele zangu,asema Bwana MUNGU.Wawezaje kusema sikutiwa unajisi, sikuwafuata mabaali?Itaza me njia yako bondeni,ujue uliyoyatende ,weweya unga mia mwepesi apitaye katik a njia ake.israel ilimwacha Mungu wakiaishi maisha yao yasiyo mpendeza Mungu maisha nje na kusudi la  Mungu kwa kukosa maarifa kwao Muerengu amkamtuma Yeremia yeremia  4:22 kwa maaana  watu  wangu niwaa pumbavu , hawajui ni watoto walio pungukiwa na akili wala hawana ufahamu ,ni wenye akili katika kutenda mabaya bali katika kayutenda
mema hawana maarifa.
1 GNOSS: UJUZI Elimu ya  shule itakayokufanya ujue sayansi , nakufanya mkristo wa kawaida kuwa na Mungu na kufa.
2 GNOSKO Elimu ya ufunuo ya mtu ambaye anaelewa Neno kwa ku sikia :ibada ,semina mkutano lakini siye msomaji wa Neno la Mungu hana hofu ya Mungu yeremia 5:4Ndipo nikasema,Hakika hawa ni maskini ,ni wajinga hawa maana hawajui njia ya Bwana,wala hukumu ya Mungu wao.ana cheo kanisani serikali.