Jumanne, 17 Desemba 2013

Mtumishi Akitoa Mfano wa Kitu katika Mkutano wa Injili KKKT Usharika wa Handeni

 Alitoa mfano jinsi gani tunajiweka tukiwa duniani ya kwamba tunakaa kama ndo tumefika nyumbani kwetu na kuweka miguu juu wakati sisi ni wageni tu katika hii dunia na tunatakiwa kukaa wima sio kukaa kwa kujiachia tukidhania ya kwamba tumefika kwetu hivyo ni wajibu wa kila mmoja kuhakikisha ya kwamba anafanikiwa kurudi nyumbani kwa Mungu ijapokuwa lazima kupita katika shida na taabu ila kwa usaidizi wa Yesu Kristo mwenyewe.Tusijitwalie ufalme usiokuwa wa kwetu


Mungu anaendelea kuwasilisha watoto wake neno lake kupitia Mtumishi wake Yohana Kangajaka

Makutano wakiendelea kusikiliza mahubiri kutoka kwa mtumishi wa Mungu Yohana Kangajaka


Ev Yohana Kangajaka Akihubiri kwenye Mkutano wa Injili KKKT Usharika wa Handeni

 SOMO:UFUNUO 21:1(Kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya;kwa maana mbingu za kwanza na nchi za kwanza zimesha kupita,wala hapana habari tena.2Nami nikauona mji ule mtakatifu,Yerusalemu mpya,ukishuka kutoka mbinguni kwa Mungu,umewekwa tayari,kama bibi-arusi aliyekwisha kupambwa kwa mumewe,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,)


 Ev Yohana Kangajaka akiendelea na Mahubiri



Mpiga Muziki wa kinanda akiburudisha kwa Mziki


KUWA KUTOKA KATIKA UTOTO NA FANYIKA MWANA WA MUNGU

Yn 1:12

Bali wote waliompokeaa aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu.Ndio wale waliaminio jina lake.(Yoshuan)Mkombozi,naye Jehova ataka tukue toka motto tufikie utu uzima.Ziko hatua 3

·         Teknion

·         Teknon

·         Hunioth(luiothesia)

Ebr 5:13-14.(Kwa maana kila mtu atumiaye maziwahajui sana neno la haki,kwa kuwa ni mtoot mchanga.14 lakini chakula kigumu ni cha watu wazima,ambao akili zao,kwa kutukiwa zimezoezwa kupambanua mema na mabaya) Acha kujivunia udhehebu,jivunie mwokozi pekee yake ndiye njia yaw ewe kutoka katika vifungo ndiye kweli,ndiye uzima,Paulo anasema Rum 8:15(Kwa kuwa hamkupokea tena roho ya utumwa iletayo hofu,bali mlipokea roho wa kufanywa wana,ambayo kwa hiyo twalia Aba,yaani Baba) tuwekwa kama wana baba atuamini,,,ukisoma Yn 2:23-25(hata alipokuwa Yerusalemu wakati wa Pasaka,watu wengi waliliamini jina lake………………………………) (Gal 4:1-2)

 

Exosia=haki,faida,mamlaka mfano Tukimpokea Yesu tunapokea haki ya wana Ebra 4:15,,,,pengine unja haki ya hao warithio ahadi bali kutokuamini kutakukoshesha Ebr 6:12 (ili msiwe wavivu bali mkawe wafuasi wa hao warithio ahadi kwa imani na uvumilivu) na 1kor 3:1-2,7,,,,,,,,,,pevuka urithi ahadi umeahidiwa Exosia ya uana sio udini pevuka ili uwe vile Mungu anavyokusudia uwe,toka horini luka 2:7(Akamzaa mwanawe kifungua mimba,akamvika nguo za kitoto,akamlaza katika hori la kulia ng’ombe,kwa sababu hawakupata nafasi katika vyumba vya wageni)….1Yn 2:12-13 keti katika waalimu luka 3:23(Na Yesu mwenyewe alipoanza kufundisha,alikuwa amepata umri wake kama miaka thelathini,akidhaniwa kuwa ni mwana wa Yusufu,wa Eli)uwekwe kama mwana,sio kumuamini tu bali Bwana kujiaminisha kwako.uwe na uwezo wa kufanya suluhu Mt 3:16…Mbingu zinamfunukia kutoa uzima uponyaji,jua la haki linawaka sasa........

Barikiwa sana kwa kuendelea kufuatili

FOLLOWS US ON @https://www.facebook.com/yohana.kangajaka.