Alhamisi, 19 Juni 2014

KUBADILISHWA NA TAABU

KUBADILISHWA NA TAABU
2 kor 4:17  “Maana dhiki yetu nyepesi  iliyo ya muda wa kitambo tu,yatufanyia utukufu wa milele uzidio kuwa mwingi sana”
Dhahabu safi hutokana na moto,husafishwa na moto.Mungu analengo kwa kila tatizo,yeye hutumia mazingira kukuza tabia zetu ili kufanana na Kristo.Mazingira ni zaidi ya kusoma biblia maana unakabiliana na mazingira masaa 24,(Yn 16:33 “hayo nimewaambieni mpate kuwa amani ndani yangu.ulimwenguni mnayo dhiki;lakini jipeni moyo;mimi nimeushinda ulimwengu”) hakuna sugu kwa matatizo wala hakuna aliye funikwa asikutane nayo ( Ayubu 5:7 “Lakini mwanadamu huzaliwa ili apate mashaka,kama cheche za moto zirukavyo juu.”)mkitatua moja lingine linakuja 1 petro 4:12
Mungu anayatumia matatizo kutusogeza karibu sana naye na kutukuza kitabia,iwapo unamjua ukipondeka moyo mtaona wokovu wake,ibada za kweli huja wakati upo katika hali nzito nyakati za giza.Unapohisi kuachwa mkiwa na maumivu makali na mkamgeukia Mungu sio kumkimbia hapo sala zake huwa za kweli na mwaminifu kutoka moyoni Mateso ni mwalimu.Ebra 5:8 (“na,ingawa ni Mwana,alijifunza kutii kwa mateso hayo yaliyompata;) maisha yakiwa ya raha waweza mtaja na kumfahamu juu juu tu,ukiiga na kunukuu.Bali katika tabu utamjua na utajifunza.
Mungu angeweza zuia Yusufu atupwe gerezani,au Danieli asitupwe katika pango la simba,Yeremia katika simo la matope,Paulo Mungu angezuia asivunjikiwe na jahazi bali aliruhusu kutokea bila kizuizi na matokea kila mmoja alimsogelea Mugnu kwa karibu zaidi.shida utulazimisha kumtazama Mungu na kumtegemea Mungu,Uwezijua kwamba unachohitaji ni Mungu peke yake hadi pale utakapojikuta umebaki na Mungu pekee.bila kujali chanza,hakuna tatizo linaloweza kukupata bila ruksa ya Mungu.
Mungu uyachuja  yote yanayokukuta na kuyatumia kwa ajili ya mema (Rum 8:28 “Nasi twajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja wale wampendao katika kuwapatia mema,yaan, wale walioitwa kwa kusdi lake”)ingawa na shetani na watu wengine wanakusudia mabaya kwa Mungu anatawala yote,siku zako zote zimeandikwa katika kalenda ya Mungu kabla hujazaliwa na kila kinachokutokea kina umuhimu wa kiroho,Mungu husababisha kila kitu kufanya kazi pamoja kwa ajili ya mema ya wale wampendao Yn 14 :23 “(Yesu akajibu,akamwambia,mtu akinipenda,atalishika neno langu,na Baba yangu atampenda;nasi tutakuja kwake,na kufanya makao kwake”) Rum 8:28-29 and we know that all things work together for good to them that love GOD, to them who are called according to  his purpose. For whom he did foreknow, he also did predestinate to be conformed to theimage of his son,that he might be the first born among many brethren. Neno  TUNAJUAni alama ya uhakika wa tumaini wakat wa magumu hutegemei kufikiri chanya bali unafikiri kwa kule kutarajia mema au kule kutegemea mazuri huu ni uhakika uliojengwa kwenye kweli.kwamba Mungu anatawala kikamilifu huu ulimwengu na anatupenda akisema  tunajua KWAMBA Mungu husababisha.maana yake kuna mbinu nyuma ya kila kitu kinachoruhusiwa kutokea hata kama adui amesababisha  Mungu anazombinu sio bahati mbaya yale yatokeayo kwako yuko msanifu nyuma ya jambo.kumbuka sisi tunaweza kukosea lakini Mungu hakosei.akisema KILA KITU.maana yake mpango  wa MUNGU kwa maisha yako anahusisha yote yanayotokea pamoja na makosa yetu na dhambi na maumivu yetu,magonjwa unayoutana nayo madeni yetu majanga talaka.vifo vya wapendwa wetu tuwapendao hayo yote MUNGU aweza leta mema toka mambo yanayoonekana maovu. Alifanya hivi kalvari.katika uovu na ukatili wao MUNGU AKALETA WOKOVU KWA WOTE WANAOAMINI. Kufanya kazi pamoja  sio kwa kipekee au kujitegemea,matukio ktk maisha yako yanategemeana katika mchakato mzima wa kukufanya ufanane na Kristo. Yote yanachonga SHAPEyako.kama vile mtu anayetengeneza lishe.kuna vichanganyiko vingi.lakini mwisho wa siku kunatokea msosi wakufaa kwa afya. Mpe MUNGU MAMBO YAKO YOTE MABAYA NA MEMA  KATKA MATUKIO YAKO YOTE MLETEE.atayaunganisha pamoja kua kitu chema nawe utakuwa na ushuhuda. Yote ni kwa ajili ya mema lakini hainamaana kwamba kila kitu ni chema bali kila kitu hutendeka kwa ajili ya meea maana MUngu ni mtaalamu wa kutoa mema kutokana na mabaya mfano ukoo wa Yesu Kristo wanawake wanne Amari,Ruthu,Rahabu,Bethseba.”TAMARI” alimhadaa baba mkwe wake, Rahabu alikuwa kahaba,Ruthu hakuwa myahudi na laivunja sheria ya kuolewa na myahudi,Bethseba alitenda uzinzi na Daudi jambo lililoleta mauaji ya mume wake.
Hizi hazikuwa ni sifa nzuri lakini mungu alileta mema mema katika mabaya na Yesu akaja toka ukoo wao.Kusudi la Mungu lani kubwa kuliko matatizo yetu,maumivu yetu na dhoruba “YA WALE WAMPENDAO MUNGU NA WAMEITWA =Ahadi ya Mungu ni kwa watoto wake  tu si kila kitu hufanya kazi pamoja kwa ubaya kwa wale wanaoishi kumpinga Mungu na kukazana kufuata njia zao,kutokana na leng lake ni sisi tufanane na mwanae.Kila kitu kitokacho ni kwa kusudi hilo,jenga tabia ya mfano wa Yesu.Tunachongwa kwa nguvu ili kuondoa makunyanzi yote kwa nyundo yenye nguvu,atatumia chochote hadi umechongoka ufanane na Yesu mateso yanaleta subiri Paulo anasema kila tatizo hujenga tabia na misuli ya kiroho na uadilifu


KUBADILISHWA NA TAABU By Yohana Kangajaka

KUBADILISHWA NA TAABU

2 kor 4:17  “Maana dhiki yetu nyepesi  iliyo ya muda wa kitambo tu,yatufanyia utukufu wa milele uzidio kuwa mwingi sana”

Dhahabu safi hutokana na moto,husafishwa na moto.Mungu analengo kwa kila tatizo,yeye hutumia mazingira kukuza tabia zetu ili kufanana na Kristo.Mazingira ni zaidi ya kusoma biblia maana unakabiliana na mazingira masaa 24,(Yn 16:33 “hayo nimewaambieni mpate kuwa amani ndani yangu.ulimwenguni mnayo dhiki;lakini jipeni moyo;mimi nimeushinda ulimwengu”) hakuna sugu kwa matatizo wala hakuna aliye funikwa asikutane nayo ( Ayubu 5:7 “Lakini mwanadamu huzaliwa ili apate mashaka,kama cheche za moto zirukavyo juu.”)mkitatua moja lingine linakuja 1 petro 4:12

Mungu anayatumia matatizo kutusogeza karibu sana naye na kutukuza kitabia,iwapo unamjua ukipondeka moyo mtaona wokovu wake,ibada za kweli huja wakati upo katika hali nzito nyakati za giza.Unapohisi kuachwa mkiwa na maumivu makali na mkamgeukia Mungu sio kumkimbia hapo sala zake huwa za kweli na mwaminifu kutoka moyoni Mateso ni mwalimu.Ebra 5:8 (“na,ingawa ni Mwana,alijifunza kutii kwa mateso hayo yaliyompata;) maisha yakiwa ya raha waweza mtaja na kumfahamu juu juu tu,ukiiga na kunukuu.Bali katika tabu utamjua na utajifunza.

Mungu angeweza zuia Yusufu atupwe gerezani,au Danieli asitupwe katika pango la simba,Yeremia katika simo la matope,Paulo Mungu angezuia asivunjikiwe na jahazi bali aliruhusu kutokea bila kizuizi na matokea kila mmoja alimsogelea Mugnu kwa karibu zaidi.shida utulazimisha kumtazama Mungu na kumtegemea Mungu,Uwezijua kwamba unachohitaji ni Mungu peke yake hadi pale utakapojikuta umebaki na Mungu pekee.bila kujali chanza,hakuna tatizo linaloweza kukupata bila ruksa ya Mungu.

Mungu uyachuja  yote yanayokukuta na kuyatumia kwa ajili ya mema (Rum 8:28 “Nasi twajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja wale wampendao katika kuwapatia mema,yaan, wale walioitwa kwa kusdi lake”)ingawa na shetani na watu wengine wanakusudia mabaya kwa Mungu anatawala yote,siku zako zote zimeandikwa katika kalenda ya Mungu kabla hujazaliwa na kila kinachokutokea kina umuhimu wa kiroho,Mungu husababisha kila kitu kufanya kazi pamoja kwa ajili ya mema ya wale wampendao Yn 14 :23 “(Yesu akajibu,akamwambia,mtu akinipenda,atalishika neno langu,na Baba yangu atampenda;nasi tutakuja kwake,na kufanya makao kwake”) Rum 8:28-29 and we know that all things work together for good to them that love GOD, to them who are called according to  his purpose. For whom he did foreknow, he also did predestinate to be conformed to theimage of his son,that he might be the first born among many brethren. Neno  TUNAJUAni alama ya uhakika wa tumaini wakat wa magumu hutegemei kufikiri chanya bali unafikiri kwa kule kutarajia mema au kule kutegemea mazuri huu ni uhakika uliojengwa kwenye kweli.kwamba Mungu anatawala kikamilifu huu ulimwengu na anatupenda akisema  tunajua KWAMBA Mungu husababisha.maana yake kuna mbinu nyuma ya kila kitu kinachoruhusiwa kutokea hata kama adui amesababisha  Mungu anazombinu sio bahati mbaya yale yatokeayo kwako yuko msanifu nyuma ya jambo.kumbuka sisi tunaweza kukosea lakini Mungu hakosei.akisema KILA KITU.maana yake mpango  wa MUNGU kwa maisha yako anahusisha yote yanayotokea pamoja na makosa yetu na dhambi na maumivu yetu,magonjwa unayoutana nayo madeni yetu majanga talaka.vifo vya wapendwa wetu tuwapendao hayo yote MUNGU aweza leta mema toka mambo yanayoonekana maovu. Alifanya hivi kalvari.katika uovu na ukatili wao MUNGU AKALETA WOKOVU KWA WOTE WANAOAMINI. Kufanya kazi pamoja  sio kwa kipekee au kujitegemea,matukio ktk maisha yako yanategemeana katika mchakato mzima wa kukufanya ufanane na Kristo. Yote yanachonga SHAPEyako.kama vile mtu anayetengeneza lishe.kuna vichanganyiko vingi.lakini mwisho wa siku kunatokea msosi wakufaa kwa afya. Mpe MUNGU MAMBO YAKO YOTE MABAYA NA MEMA  KATKA MATUKIO YAKO YOTE MLETEE.atayaunganisha pamoja kua kitu chema nawe utakuwa na ushuhuda. Yote ni kwa ajili ya mema lakini hainamaana kwamba kila kitu ni chema bali kila kitu hutendeka kwa ajili ya meea maana MUngu ni mtaalamu wa kutoa mema kutokana na mabaya mfano ukoo wa Yesu Kristo wanawake wanne Amari,Ruthu,Rahabu,Bethseba.”TAMARI” alimhadaa baba mkwe wake, Rahabu alikuwa kahaba,Ruthu hakuwa myahudi na laivunja sheria ya kuolewa na myahudi,Bethseba alitenda uzinzi na Daudi jambo lililoleta mauaji ya mume wake.

Hizi hazikuwa ni sifa nzuri lakini mungu alileta mema mema katika mabaya na Yesu akaja toka ukoo wao.Kusudi la Mungu lani kubwa kuliko matatizo yetu,maumivu yetu na dhoruba “YA WALE WAMPENDAO MUNGU NA WAMEITWA =Ahadi ya Mungu ni kwa watoto wake  tu si kila kitu hufanya kazi pamoja kwa ubaya kwa wale wanaoishi kumpinga Mungu na kukazana kufuata njia zao,kutokana na leng lake ni sisi tufanane na mwanae.Kila kitu kitokacho ni kwa kusudi hilo,jenga tabia ya mfano wa Yesu.Tunachongwa kwa nguvu ili kuondoa makunyanzi yote kwa nyundo yenye nguvu,atatumia chochote hadi umechongoka ufanane na Yesu mateso yanaleta subiri Paulo anasema kila tatizo hujenga tabia na misuli ya kiroho na uadilifu

 

 

KUBADILISHWA NA TAABU By Yohana Kangajaka

KUBADILISHWA NA TAABU

2 kor 4:17  “Maana dhiki yetu nyepesi  iliyo ya muda wa kitambo tu,yatufanyia utukufu wa milele uzidio kuwa mwingi sana”

Dhahabu safi hutokana na moto,husafishwa na moto.Mungu analengo kwa kila tatizo,yeye hutumia mazingira kukuza tabia zetu ili kufanana na Kristo.Mazingira ni zaidi ya kusoma biblia maana unakabiliana na mazingira masaa 24,(Yn 16:33 “hayo nimewaambieni mpate kuwa amani ndani yangu.ulimwenguni mnayo dhiki;lakini jipeni moyo;mimi nimeushinda ulimwengu”) hakuna sugu kwa matatizo wala hakuna aliye funikwa asikutane nayo ( Ayubu 5:7 “Lakini mwanadamu huzaliwa ili apate mashaka,kama cheche za moto zirukavyo juu.”)mkitatua moja lingine linakuja 1 petro 4:12

 

Mungu anayatumia matatizo kutusogeza karibu sana naye na kutukuza kitabia,iwapo unamjua ukipondeka moyo mtaona wokovu wake,ibada za kweli huja wakati upo katika hali nzito nyakati za giza.Unapohisi kuachwa mkiwa na maumivu makali na mkamgeukia Mungu sio kumkimbia hapo sala zake huwa za kweli na mwaminifu kutoka moyoni Mateso ni mwalimu.Ebra 5:8 (“na,ingawa ni Mwana,alijifunza kutii kwa mateso hayo yaliyompata;) maisha yakiwa ya raha waweza mtaja na kumfahamu juu juu tu,ukiiga na kunukuu.Bali katika tabu utamjua na utajifunza.

Mungu angeweza zuia Yusufu atupwe gerezani,au Danieli asitupwe katika pango la simba,Yeremia katika simo la matope,Paulo Mungu angezuia asivunjikiwe na jahazi bali aliruhusu kutokea bila kizuizi na matokea kila mmoja alimsogelea Mugnu kwa karibu zaidi.shida utulazimisha kumtazama Mungu na kumtegemea Mungu,Uwezijua kwamba unachohitaji ni Mungu peke yake hadi pale utakapojikuta umebaki na Mungu pekee.bila kujali chanza,hakuna tatizo linaloweza kukupata bila ruksa ya Mungu.

Mungu uyachuja  yote yanayokukuta na kuyatumia kwa ajili ya mema (Rum 8:28 “Nasi twajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja wale wampendao katika kuwapatia mema,yaan, wale walioitwa kwa kusdi lake”)ingawa na shetani na watu wengine wanakusudia mabaya kwa Mungu anatawala yote,siku zako zote zimeandikwa katika kalenda ya Mungu kabla hujazaliwa na kila kinachokutokea kina umuhimu wa kiroho,Mungu husababisha kila kitu kufanya kazi pamoja kwa ajili ya mema ya wale wampendao Yn 14 :23 “(Yesu akajibu,akamwambia,mtu akinipenda,atalishika neno langu,na Baba yangu atampenda;nasi tutakuja kwake,na kufanya makao kwake”) Rum 8:28-29 and we know that all things work together for good to them that love GOD, to them who are called according to  his purpose. For whom he did foreknow, he also did predestinate to be conformed to theimage of his son,that he might be the first born among many brethren. Neno  TUNAJUAni alama ya uhakika wa tumaini wakat wa magumu hutegemei kufikiri chanya bali unafikiri kwa kule kutarajia mema au kule kutegemea mazuri huu ni uhakika uliojengwa kwenye kweli.kwamba Mungu anatawala kikamilifu huu ulimwengu na anatupenda akisema  tunajua KWAMBA Mungu husababisha.maana yake kuna mbinu nyuma ya kila kitu kinachoruhusiwa kutokea hata kama adui amesababisha  Mungu anazombinu sio bahati mbaya yale yatokeayo kwako yuko msanifu nyuma ya jambo.kumbuka sisi tunaweza kukosea lakini Mungu hakosei.akisema KILA KITU.maana yake mpango  wa MUNGU kwa maisha yako anahusisha yote yanayotokea pamoja na makosa yetu na dhambi na maumivu yetu,magonjwa unayoutana nayo madeni yetu majanga talaka.vifo vya wapendwa wetu tuwapendao hayo yote MUNGU aweza leta mema toka mambo yanayoonekana maovu. Alifanya hivi kalvari.katika uovu na ukatili wao MUNGU AKALETA WOKOVU KWA WOTE WANAOAMINI. Kufanya kazi pamoja  sio kwa kipekee au kujitegemea,matukio ktk maisha yako yanategemeana katika mchakato mzima wa kukufanya ufanane na Kristo. Yote yanachonga SHAPEyako.kama vile mtu anayetengeneza lishe.kuna vichanganyiko vingi.lakini mwisho wa siku kunatokea msosi wakufaa kwa afya. Mpe MUNGU MAMBO YAKO YOTE MABAYA NA MEMA  KATKA MATUKIO YAKO YOTE MLETEE.atayaunganisha pamoja kua kitu chema nawe utakuwa na ushuhuda. Yote ni kwa ajili ya mema lakini hainamaana kwamba kila kitu ni chema bali kila kitu hutendeka kwa ajili ya meea maana MUngu ni mtaalamu wa kutoa mema kutokana na mabaya mfano ukoo wa Yesu Kristo wanawake wanne Amari,Ruthu,Rahabu,Bethseba.”TAMARI” alimhadaa baba mkwe wake, Rahabu alikuwa kahaba,Ruthu hakuwa myahudi na laivunja sheria ya kuolewa na myahudi,Bethseba alitenda uzinzi na Daudi jambo lililoleta mauaji ya mume wake.

Hizi hazikuwa ni sifa nzuri lakini mungu alileta mema mema katika mabaya na Yesu akaja toka ukoo wao.Kusudi la Mungu lani kubwa kuliko matatizo yetu,maumivu yetu na dhoruba “YA WALE WAMPENDAO MUNGU NA WAMEITWA =Ahadi ya Mungu ni kwa watoto wake  tu si kila kitu hufanya kazi pamoja kwa ubaya kwa wale wanaoishi kumpinga Mungu na kukazana kufuata njia zao,kutokana na leng lake ni sisi tufanane na mwanae.Kila kitu kitokacho ni kwa kusudi hilo,jenga tabia ya mfano wa Yesu.Tunachongwa kwa nguvu ili kuondoa makunyanzi yote kwa nyundo yenye nguvu,atatumia chochote hadi umechongoka ufanane na Yesu mateso yanaleta subiri Paulo anasema kila tatizo hujenga tabia na misuli ya kiroho na uadilifu

 

 

KUBADILISHWA NA TAABU



KUBADILISHWA NA TAABU
2 kor 4:17  “Maana dhiki yetu nyepesi  iliyo ya muda wa kitambo tu,yatufanyia utukufu wa milele uzidio kuwa mwingi sana”
Dhahabu safi hutokana na moto,husafishwa na moto.Mungu analengo kwa kila tatizo,yeye hutumia mazingira kukuza tabia zetu ili kufanana na Kristo.Mazingira ni zaidi ya kusoma biblia maana unakabiliana na mazingira masaa 24,(Yn 16:33 “hayo nimewaambieni mpate kuwa amani ndani yangu.ulimwenguni mnayo dhiki;lakini jipeni moyo;mimi nimeushinda ulimwengu”) hakuna sugu kwa matatizo wala hakuna aliye funikwa asikutane nayo ( Ayubu 5:7 “Lakini mwanadamu huzaliwa ili apate mashaka,kama cheche za moto zirukavyo juu.”)mkitatua moja lingine linakuja 1 petro 4:12
Mungu anayatumia matatizo kutusogeza karibu sana naye na kutukuza kitabia,iwapo unamjua ukipondeka moyo mtaona wokovu wake,ibada za kweli huja wakati upo katika hali nzito nyakati za giza.Unapohisi kuachwa mkiwa na maumivu makali na mkamgeukia Mungu sio kumkimbia hapo sala zake huwa za kweli na mwaminifu kutoka moyoni Mateso ni mwalimu.Ebra 5:8 (“na,ingawa ni Mwana,alijifunza kutii kwa mateso hayo yaliyompata;) maisha yakiwa ya raha waweza mtaja na kumfahamu juu juu tu,ukiiga na kunukuu.Bali katika tabu utamjua na utajifunza.
Mungu angeweza zuia Yusufu atupwe gerezani,au Danieli asitupwe katika pango la simba,Yeremia katika simo la matope,Paulo Mungu angezuia asivunjikiwe na jahazi bali aliruhusu kutokea bila kizuizi na matokea kila mmoja alimsogelea Mugnu kwa karibu zaidi.shida utulazimisha kumtazama Mungu na kumtegemea Mungu,Uwezijua kwamba unachohitaji ni Mungu peke yake hadi pale utakapojikuta umebaki na Mungu pekee.bila kujali chanza,hakuna tatizo linaloweza kukupata bila ruksa ya Mungu.
Mungu uyachuja  yote yanayokukuta na kuyatumia kwa ajili ya mema (Rum 8:28 “Nasi twajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja wale wampendao katika kuwapatia mema,yaan, wale walioitwa kwa kusdi lake”)ingawa na shetani na watu wengine wanakusudia mabaya kwa Mungu anatawala yote,siku zako zote zimeandikwa katika kalenda ya Mungu kabla hujazaliwa na kila kinachokutokea kina umuhimu wa kiroho,Mungu husababisha kila kitu kufanya kazi pamoja kwa ajili ya mema ya wale wampendao Yn 14 :23 “(Yesu akajibu,akamwambia,mtu akinipenda,atalishika neno langu,na Baba yangu atampenda;nasi tutakuja kwake,na kufanya makao kwake”) Rum 8:28-29 and we know that all things work together for good to them that love GOD, to them who are called according to  his purpose. For whom he did foreknow, he also did predestinate to be conformed to theimage of his son,that he might be the first born among many brethren. Neno  TUNAJUAni alama ya uhakika wa tumaini wakat wa magumu hutegemei kufikiri chanya bali unafikiri kwa kule kutarajia mema au kule kutegemea mazuri huu ni uhakika uliojengwa kwenye kweli.kwamba Mungu anatawala kikamilifu huu ulimwengu na anatupenda akisema  tunajua KWAMBA Mungu husababisha.maana yake kuna mbinu nyuma ya kila kitu kinachoruhusiwa kutokea hata kama adui amesababisha  Mungu anazombinu sio bahati mbaya yale yatokeayo kwako yuko msanifu nyuma ya jambo.kumbuka sisi tunaweza kukosea lakini Mungu hakosei.akisema KILA KITU.maana yake mpango  wa MUNGU kwa maisha yako anahusisha yote yanayotokea pamoja na makosa yetu na dhambi na maumivu yetu,magonjwa unayoutana nayo madeni yetu majanga talaka.vifo vya wapendwa wetu tuwapendao hayo yote MUNGU aweza leta mema toka mambo yanayoonekana maovu. Alifanya hivi kalvari.katika uovu na ukatili wao MUNGU AKALETA WOKOVU KWA WOTE WANAOAMINI. Kufanya kazi pamoja  sio kwa kipekee au kujitegemea,matukio ktk maisha yako yanategemeana katika mchakato mzima wa kukufanya ufanane na Kristo. Yote yanachonga SHAPEyako.kama vile mtu anayetengeneza lishe.kuna vichanganyiko vingi.lakini mwisho wa siku kunatokea msosi wakufaa kwa afya. Mpe MUNGU MAMBO YAKO YOTE MABAYA NA MEMA  KATKA MATUKIO YAKO YOTE MLETEE.atayaunganisha pamoja kua kitu chema nawe utakuwa na ushuhuda. Yote ni kwa ajili ya mema lakini hainamaana kwamba kila kitu ni chema bali kila kitu hutendeka kwa ajili ya meea maana MUngu ni mtaalamu wa kutoa mema kutokana na mabaya mfano ukoo wa Yesu Kristo wanawake wanne Amari,Ruthu,Rahabu,Bethseba.”TAMARI” alimhadaa baba mkwe wake, Rahabu alikuwa kahaba,Ruthu hakuwa myahudi na laivunja sheria ya kuolewa na myahudi,Bethseba alitenda uzinzi na Daudi jambo lililoleta mauaji ya mume wake.
Hizi hazikuwa ni sifa nzuri lakini mungu alileta mema mema katika mabaya na Yesu akaja toka ukoo wao.Kusudi la Mungu lani kubwa kuliko matatizo yetu,maumivu yetu na dhoruba “YA WALE WAMPENDAO MUNGU NA WAMEITWA =Ahadi ya Mungu ni kwa watoto wake  tu si kila kitu hufanya kazi pamoja kwa ubaya kwa wale wanaoishi kumpinga Mungu na kukazana kufuata njia zao,kutokana na leng lake ni sisi tufanane na mwanae.Kila kitu kitokacho ni kwa kusudi hilo,jenga tabia ya mfano wa Yesu.Tunachongwa kwa nguvu ili kuondoa makunyanzi yote kwa nyundo yenye nguvu,atatumia chochote hadi umechongoka ufanane na Yesu mateso yanaleta subiri Paulo anasema kila tatizo hujenga tabia na misuli ya kiroho na uadilifu