Jumatatu, 16 Desemba 2013

We Fire out in Jesus Name

Ni katika Huduma ya Maombezi kwenye Mkutano wa Injili  Mchungaji kiongozi (Kushoto)wa KKKT Usharika wa Handeni pamoja na Mkuu wa Dinari(kulia)wakashirikiana pamoja na watumishi wengine wakati wa Maombezi

We are Worship to Jesus!!Haleluya

 Mwongazaji wa Present worship akimwabudu Mungu pamoja na makutano kabla ya kuanza huduma ya maombezi


Ev Yohana kangajaka akihubiri wakati wa mkutano wa injili KKKT Usharika wa handeni

Somo la leo Mwanzo 8:1 (Na Mungu akamkumbuka Nuhu,na kila kilicho hai,na wanyama wote walikuwamo pamoja nae katika safina;Mungu akavumisha upepo juu ya nchi maji yakapungua)

Mkuu wa Dinari pamoja na viongozi wengine wakati wa Ufunguzi wa Mkutano KKKT Usharika wa Handeni

 Tunamsifu Mungu
Mkuu wa Dinari pamoja na Mchungaji Kiongozi wakifuatilia mahubiri wakati wa Mkutano huo unaoendelea hapa katika viwanja hivi vya KKKT Usharika wa Handeni