Jumatano, 18 Desemba 2013

Mtumishi wa Mungu Grace Mpanduji akihubiri wakati wa Mkutano wa Injili KKKT usharika wa Handeni

TUNAENDELEA KUWAKARIBISHA KATIKA MKUTANO WA INJILI UNAONDELEA HAPA KATIKA VIWANJA VYA KKKT USHARIKA WA HANDENI

MHUBIRI:GRACE MPANDUJI

SOMO:ZABURI 121

            KUZUNGUMZA NA MILIMA

ZABURI;121 (Nitayainua macho yangnu kutazama milima,msaada wangu utatoka wapi?2 Msaada wangu u katika BWANA,Aliyezifanya mbingu na nchi.3 Asiuache mguu wako usogezwe;Asisinzie akulindaye;4 Naam hatasinzia wala hatalala usingizi,Yeye mlinzi wa Israeli.5 Bwana ndiye Mlinzi wako;Bwana ni uvuli wa mkono wako wa kuume.6 Jua halitakupiga mchana,wala mwezi wakati wa usiku.7 Bwana atakulinda na mbaya yote,atakulinda nafsi yako.8 Bwana atakulinda utokapo na uingiapo,Tangu sasa na hata milele