Ijumaa, 13 Desemba 2013

Nguvu za giza hazina mamlaka kwa jina la Yesu huu unaochomwa hapa ni uchawi baada ya watu kufunguliwa kutoka katika vifungo vya kichawi walisalimisha hirizi walizopewa na waganga wa kienyeji na kuwa wanafunzi wa Yesu Kristo

Hakuna maoni: